Serikali yakihakikishia kiwanda cha Kagera Sugar mazingira wezeshi ya uzalishaji wa sukari

NA DIRAMAKINI

NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Dkt. Hashil Abdalah amekihakikisia kiwanda cha uzalishaji wa sukari cha Kagera Sugar kuwa Serikali itahakikisha inatengeneza mazingira rafiki ya kuweza kukua na kufanya biashara na uzalishaji wa sukari.
Dkt.Hashil ameyasema hayo wakati wa ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Biashara Viwanda na Mazingira kwenye kiwanda hicho pamoja na mashamba yake yaliyopo mkoani Kagera hivi karibuni.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news