Viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni leo Juni 22,2022

NA GODFREY NNKO

LEO Dola ya Singapore (SGD) inanunuliwa kwa shilingi 1654.82 na kuuzwa kwa shilingi 1670.40 huku Krona ya Sweden (SEK) ikinunuliwa kwa shilingi 226.95 na kuuzwa kwa shilingi 229.15. 
Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni iliyotolewa leo Juni 22, 2022 na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Randi ya Afrika Kusini (ZAR) ikinunuliwa kwa shilingi 143.9 na kuuzwa kwa shilingi 145.3 huku dola ya Marekani (USD) ikinunuliwa kwa shilingi 2291.42 na kuuzwa kwa shilingi 2314.34.
Dinar ya Algeria (DZD) inanunuliwa kwa shilingi 16.62 na kuuzwa kwa shilingi 16.72 huku Franka ya Ufaransa (FRF) ikinunuliwa kwa shilingi 308.45 na kuuzwa 311.18.

Lira ya Italia (ITL) inanunuliwa kwa shilingi 1.04 na kuuzwa kwa shilingi 1.05 huku Rupia ya India (INR) ikinunuliwa kwa shilingi 29.34 na kuuzwa kwa shilingi 29.62.

Kwacha ya Malawi (MWK) inanunuliwa kwa shilingi 2.08 na kuuzwa kwa shilingi 2.25 huku Rupia ya Pakistan (PKR) ikinunuliwa kwa shilingi 10.29 na kuuzwa kwa shilingi 10.86.

Shilingi ya Kenya (KES) inanunuliwa kwa shilingi 19.52 na kuuzwa kwa shilingi 19.68 huku Euro ya Ulaya (EUR) ikinunuliwa kwa shilingi 2416.77 na kuuzwa kwa shilingi 2441.86.

Shilingi ya Uganda (UGX) inanunuliwa kwa shilingi 0.59 na kuuzwa kwa shilingi 0.62 huku Franka ya Ubelgiji (BEF) ikinunuliwa kwa shilingi 50.16 na kuuzwa kwa shilingi 50.60.

Aidha,Won ya Korea Kusini (KRW) inanunuliwa kwa shilingi 1.77 na kuuzwa kwa shilingi 1.79 huku Dinar ya Kuwait (KWD) ikinunuliwa kwa shilingi 7471.23 na kuuzwa kwa shilingi 7526.79.

Yuan ya China (CNY) inanunuliwa kwa shilingi 345.04 na kuuzwa kwa shilingi 348.49 huku Yen ya Japan (JPY) ikinunuliwa kwa shilingi 16.82 na kuuzwa kwa shilingi 16.98.

Dirham ya Umoja wa Falme za Kiarabu (AED) inanunuliwa kwa shilingi 623.92 na kuuzwa kwa shilingi 629.99 huku Schilling ya Australia (ATS) ikinunuliwa kwa shilingi 147.04 na kuuzwa kwa shilingi 148.34.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news