Haji Manara afungiwa miaka miwili, faini milioni 20/- kwa kumvujia heshima Rais wa TFF

NA DIRAMAKINI

KAMATI ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) leo Julai 21, 2022 imetoa maamuzi kuhusiana na sekretarieti kufungua kesi katika kamati hiyo dhidi ya afisa habari wa Yanga, Haji Manara.

Kamati ya Maadili ya TFF imemkuta na hatia Haji Manara na kumfungia miaka miwili kutojihusisha na soka ndani na nje ya nchi na faini ya sh. milioni 20 kwa makosa ya kumvunjia heshima Rais wa TFF, Wallace Karia

Haji Manara alipishana kauli ya Rais wa Shirikisho la soka Tanzania (TFF), Wallace Karia katika eneo la VVIP wakati wa mchezo wa fainali ya Kombe la ASFC kati ya Yanga dhidi ya Coastal Union.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news