Mheshimiwa Zitto Kabwe, Tundu Lissu baada ya kikao cha viongozi nchini Italia

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Mheshimiwa Zitto Kabwe akiwa katika picha ya pamoja na Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mheshimiwa Tundu Lissu baada ya kikao cha viongozi mbalimbali wanaokutana Lake Como, nchini Italia kwenye majadiliano (retreat) kuhusu Ujenzi wa Amani Afrika na Dunia kwa ujumla.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news