Watanzania wateuliwa kuchezesha CHAN kati ya Djibouti na Burundi jijini Dar

NA DIRAMAKINI

SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limewateua marefa wa Tanzania, Elly Sasii, Mohamed Mkono, Soud Lila na Ramadhan Kayoko kuchezesha mchezo wa kufuzu Fainali za Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) baina ya Djibouti na Burundi.
Katika mechi hiyo itakayofanyika Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam, Julai 29, mwaka huu, Kamisaa pia ni Mtanzania, Khalid Abdallah ambaye ni Mjumbe wa Kamati ya Utendaji TFF.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news