Waziri Dkt.Biteko ataja vipaumbele vya wizara

"Mwaka 2021 Sekta ya Madini iliendelea kuifungua nchi yetu kiuchumi kwa kuchangia asilimia 45.9 ya thamani ya bidhaa zilizouzwa nje ya nchi na kuliingizia Taifa dola za Marekani milioni 3,103.20, huku kasi ya ukuaji wa sekta mwaka 2021 ilikuwa na kufikia asilimia 9.6 ikilinganishwa na asilimia 6.7 mwaka 2020 na kuwa ya tatu miongoni mwa sekta nyingine kutokana na ongezeko la uwekezaji,"Waziri wa Madini Dkt.Doto Biteko;

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news