Waziri Mkenda ampokea Waziri Ofisi ya Rais wa Sudan Kusini, Dkt.Benjamin

NA DIRAMAKINI

WAZIRI wa Elimu, Sayansi, na Teknolojia, Mhe. Prof Adolf Mkenda (Mb) leo Julai 20, 2022 amempokea Waziri Ofisi ya Rais wa Sudan Kusini. Mhe. Dkt Barnaba Marial Benjamin katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA).
Dkt.Barnaba amewasili nchini kwa ajili ya kumwakilisha Rais wa Sudan Kusini, Mhe. Salva Kiir kwenye Mkutano wa 22 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Afrika Mashariki unaofanyika kuanzia tarehe 21-22 Julai 2022 katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano-AICC jijini Arusha.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news