Katibu Mkuu OR-TAMISEMI, Prof.Shemdoe ahesabiwa na familia yake Boko jijini Dar es Salaam

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe akizungumza na Karani wa Sensa ya Watu na Makazi wakati akihesabiwa nyumbani kwake maeneo ya Boko Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam leo Agosti 23, 2022.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news