Mwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA, Freeman Mbowe amewaomba wananchi wa Hai kumsamehe aliyekuwa Mkuu wa Wilaya hiyo, Lengai Ole Sabaya, akieleza kuwa hakuna binadamu asiye na dhambi.
Mbowe amesema hayo wakati wa ibada ya mazishi ya mama wa Mbunge wa Hai, Saashisha Mafue.
Tags
Kurasa za Magazeti
Kurasa za Mbele na Nyuma za Magazeti
Magazeti
Magazeti ya Leo
Magazetini
Magazetini leo
Yaliyojiri Magazetini Leo




















