Madaraka Nyerere avalishwa medali ya heshima na SADC


Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo akimpongeza Madaraka Nyerere, mwakilishi wa familia ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Rais wa Kwanza wa Tanzania mara baada ya kuvalishwa medali.Hii ni kama heshima ya kutambua mchango wake katika jumuiya hiyo. Hafla ya utoaji wa medali hizo imefanyika kwenye Mkutano wa 42 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC, Kinshasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo tarehe 17 Agosti, 2022.(Picha na Ikulu).

Rais wa Afrika Kusini Mhe. Cyril Ramaphosa akimvalisha Medali Madaraka Nyerere Mwakilishi wa Familia ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Rais wa kwanza wa Tanzania na mmoja wa Waanzilishi wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news