Viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni leo Agosti 11,2022

NA GODFREY NNKO

LEO dola ya Zimbabwe (ZWD) inanunuliwa kwa shilingi 0.43 na kuuzwa kwa shilingi 0.44 huku Euro ya Ulaya (EUR) inanunuliwa kwa shilingi 2350.75 na kuuzwa kwa shilingi 2375.18.
Aidha,Paundi ya Uingereza (GBP) inanunuliwa kwa shilingi 2779.11 na kuuzwa kwa shilingi 2807.83 huku Yuan ya China (CNY) ikinunuliwa kwa shilingi 339.71 na kuuzwa kwa shilingi 343.02.

Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni iliyotolewa leo Agosti 11, 2022 na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Dirham ya Umoja wa Falme za Kiarabu (AED) inanunuliwa kwa shilingi 624.39 na kuuzwa kwa shilingi 630.49 huku Schilling ya Australia (ATS) ikinunuliwa kwa shilingi 147.15 na kuuzwa kwa shilingi 148.46.
Krona ya Sweden (SEK) inanunuliwa kwa shilingi 226.40 na kuuzwa kwa shilingi 224.47 huku Randi ya Afrika Kusini (ZAR) ikinunuliwa kwa shilingi 139.34 na kuuzwa kwa shilingi 140.59.

Shilingi ya Uganda (UGX) inanunuliwa kwa shilingi 0.57 na kuuzwa kwa shilingi 0.59 huku Franka ya Burundi (BIF) ikinunuliwa kwa shilingi 2.19 na kuuzwa kwa shilingi 2.21.

Kwacha ya Malawi (MWK) inanunuliwa kwa shilingi 2.08 na kuuzwa kwa shilingi 2.21 huku Rupia ya Pakistan (PKR) ikinunuliwa kwa shilingi 9.83 na kuuzwa kwa shilingi 10.44.

Rupia ya India (INR) inanunuliwa kwa shilingi 28.86 na kuuzwa kwa shilingi 29.14 huku Shilingi ya Kenya (KES) inanunuliwa kwa shilingi 19.24 na kuuzwa kwa shilingi 19.41.

Franka ya Rwanda (RWF) inanunuliwa kwa shilingi 2.19 na kuuzwa kwa shilingi 2.25 huku Yen ya Japan (JPY) ikinunuliwa kwa shilingi 17.01 na kuuzwa kwa shilingi 17.18.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news