Orodha ya wana CCM wanaopendekezwa kuteuliwa kugombea ubunge EALA


Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinapenda kuwataarifu wanachama wote wa CCM na umma wa Watanzania kwa ujumla kwamba,katika kikao chake maalum kilichofanyika tarehe 7 Septemba, 2022 jijini Dar es Salaam chini ya Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa pamoja na mambo mengine, iliwateua na kuwapendekeza wanachama wa CCM wafuatao, kuteuliwa kugombea nafasi za Ubunge wa Bunge la Afrika Mashariki;


Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news