
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana Rais na Mtendaji Mkuu wa Japan Tobacco International (JTI) Bw. Masamichi Terabatake, baada ya kikao kilichofanyika katika ofisi hiyo, iliyopo Kamiacho, jijini Tokyo Japan, Septemba 26.2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).