HII HAPA RATIBA YA KATIZO LA UMEME MKOA WA KINONDONI KASKAZINI

Wakati huo huo, TANESCO imefafanua kuwa, pamoja na kazi zote hizo kuendelea kufanyika, ofisi zao za mikoa zitaendelea kutoa ratiba ya upungufu wa umeme kwenye maeneo yote yanayoathirika.https://www.diramakini.co.tz/2022/10/ukame-waathiri-mabwawa-manne-ya.html?m=1

"Na wateja wetu watapewa taarifa kwa njia mbalimbali zikiwemo pamoja na ujumbe mfupi na maeneo kwenda kwa mhusika wa eneo hilo litakaloathirika, shirika linashukuru kwa ushirikiano linaoupata kwa wateja wake katika kutafuta majawabu,"Kurugenzi ya Mawasiliano kwa Umma, TANESCO imefafanua.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news