Mhe.Hemed Suleiman Abdullah akagua maandalizi ya Uzinduzi wa Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi 2022








Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdullah akizungumza katika Uwanja wa Jamhuri alipotembelea kukagua maandalizi ya Uzinduzi wa Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi kwa mwaka 2022 unaotarajiwa kufanyika Oktoba 31,2022 Jijini Dodoma.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news