Waziri Mkuu arejea nchini akitokea Korea Kusini baada ya kukamilisha ziara ya kikazi


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Jabir Shekimweri (Kushoto) wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma Oktoba 30, 2022. Mheshimiwa Majaliwa amerejea nchini leo akitoka Korea Kusini baada ya kukamilisha ziara yake ya kikazi nchini humo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news