Viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni leo Oktoba 13,2022

NA GODFREY NNKO

LEO Dola ya Marekani (USD) inanunuliwa kwa shilingi 2296.72 na kuuzwa kwa shilingi 2319.69 huku Dinar ya Kuwait (KWD) ikinunuliwa kwa shilingi 7401.14 na kuuzwa kwa shilingi 7472.75.
Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni iliyotolewa leo Oktoba 13, 2022 na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Shilingi ya Uganda (UGX) inanunuliwa kwa shilingi 0.57 na kuuzwa kwa shilingi 0.60 huku Franka ya Burundi (BIF) ikinunuliwa kwa shilingi 2.19 na kuuzwa kwa shilingi 2.21.

Yen ya Japan (JPY) inanunuliwa kwa shilingi 15.67 na kuuzwa kwa shilingi 15.82 huku Yuan ya China (CNY) ikinunuliwa kwa shilingi 320.35 na kuuzwa kwa shilingi 323.42.

Paundi ya Uingereza (GBP) inanunuliwa kwa shilingi 2543.39 na kuuzwa kwa shilingi 2569.52 huku Franka ya Rwanda (RWF) inanunuliwa kwa shilingi 2.15 na kuuzwa kwa shilingi 2.19.

Dirham ya Umoja wa Falme za Kiarabu (AED) inanunuliwa kwa shilingi 625.31 na kuuzwa kwa shilingi 631.52 huku Schilling ya Australia (ATS) ikinunuliwa kwa shilingi 147.38 na kuuzwa kwa shilingi 148.69.

Dola ya Zimbabwe (ZWD) inanunuliwa kwa shilingi 0.43 na kuuzwa kwa shilingi 0.44 huku Euro ya Ulaya (EUR) inanunuliwa kwa shilingi 2229.66 na kuuzwa kwa shilingi 2252.88.

Krona ya Sweden (SEK) inanunuliwa kwa shilingi 202.43 na kuuzwa kwa shilingi 204.39 huku Randi ya Afrika Kusini (ZAR) ikinunuliwa kwa shilingi 126.08 na kuuzwa kwa shilingi 127.32.

Kwacha ya Malawi (MWK) inanunuliwa kwa shilingi 2.08 na kuuzwa kwa shilingi 2.24 huku Rupia ya Pakistan (PKR) ikinunuliwa kwa shilingi 10.03 na kuuzwa kwa shilingi 10.64.

Rupia ya India (INR) inanunuliwa kwa shilingi 27.92 na kuuzwa kwa shilingi 28.17 huku Shilingi ya Kenya (KES) inanunuliwa kwa shilingi 19.00 na kuuzwa kwa shilingi 19.16.

Foreign Exchange Rates in United Republic of Tanzania today October 13th, 2022 according to Central Bank (BoT);
S/NO Currency Buying Selling Mean Transaction Date
1 AED 625.3159 631.5175 628.4167 13-Oct-22
2 ATS 147.3808 148.6866 148.0337 13-Oct-22
3 AUD 1437.0594 1452.5899 1444.8247 13-Oct-22
4 BEF 50.273 50.718 50.4955 13-Oct-22
5 BIF 2.199 2.2156 2.2073 13-Oct-22
6 BWP 170.8762 173.0489 171.9625 13-Oct-22
7 CAD 1665.6195 1681.6659 1673.6427 13-Oct-22
8 CHF 2307.8002 2329.4738 2318.637 13-Oct-22
9 CNY 320.3508 323.4234 321.8871 13-Oct-22
10 CUC 38.3447 43.5868 40.9657 13-Oct-22
11 DEM 920.272 1046.0834 983.1777 13-Oct-22
12 DKK 299.7628 302.7209 301.2419 13-Oct-22
13 DZD 15.9122 15.9508 15.9315 13-Oct-22
14 ESP 12.1887 12.2963 12.2425 13-Oct-22
15 EUR 2229.6585 2252.8829 2241.2707 13-Oct-22
16 FIM 341.0839 344.1064 342.5952 13-Oct-22
17 FRF 309.1689 311.9037 310.5363 13-Oct-22
18 GBP 2543.3908 2569.5206 2556.4557 13-Oct-22
19 HKD 292.5799 295.5019 294.0409 13-Oct-22
20 INR 27.9186 28.1789 28.0488 13-Oct-22
21 ITL 1.0474 1.0567 1.052 13-Oct-22
22 JPY 15.6698 15.8254 15.7476 13-Oct-22
23 KES 19.0047 19.1631 19.0839 13-Oct-22
24 KRW 1.6103 1.6259 1.6181 13-Oct-22
25 KWD 7401.1432 7472.7466 7436.9449 13-Oct-22
26 MWK 2.0784 2.2385 2.1585 13-Oct-22
27 MYR 490.7527 495.1313 492.942 13-Oct-22
28 MZM 35.3886 35.6875 35.5381 13-Oct-22
29 NAD 91.4422 92.2927 91.8675 13-Oct-22
30 NLG 920.272 928.4331 924.3525 13-Oct-22
31 NOK 214.0987 216.1692 215.134 13-Oct-22
32 NZD 1283.868 1297.8666 1290.8673 13-Oct-22
33 PKR 10.0271 10.6457 10.3364 13-Oct-22
34 QAR 698.7337 705.5246 702.1292 13-Oct-22
35 RWF 2.1465 2.1871 2.1668 13-Oct-22
36 SAR 611.3183 617.103 614.2106 13-Oct-22
37 SDR 2931.7666 2961.0843 2946.4255 13-Oct-22
38 SEK 202.4276 204.396 203.4118 13-Oct-22
39 SGD 1599.6119 1614.7083 1607.1601 13-Oct-22
40 TRY 123.5927 124.7615 124.1771 13-Oct-22
41 UGX 0.5757 0.6041 0.5899 13-Oct-22
42 USD 2296.7228 2319.69 2308.2064 13-Oct-22
43 GOLD 3831622.601 3876433.959 3854028.28 13-Oct-22
44 ZAR 126.0813 127.3184 126.6999 13-Oct-22
45 ZMK 140.5565 145.8925 143.2245 13-Oct-22
46 ZWD 0.4298 0.4385 0.4341 13-Oct-22

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news