Rais Dkt.Mwinyi ateta na Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa BoT

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT),Prof. Florens Luoga, alipofika Ikulu jijini Zanzibar na Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa BoT kwa mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo Novemba 7,2022. (Picha na Ikulu).
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa BoT,ukiongozwa na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Florens Luoga (kulia kwa Rais) walipofika Ikulu jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akiagana na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT),Prof.Florens Luoga, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu jijini Zanzibar leo.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news