Kwa nini Tamasha la Bibi Titi huko Rufiji? Mheshimiwa Mchengerwa afunguka

BIBI TITI MOHAMED, alikuwa ni mwanaharakati na shujaa aliyepigania Uhuru. Alipambana na alifanya kila njia akisaidiana na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere. Historia yake na harakati za kudai uhuru ni pana na bila shaka inagusa wengi kwa jinsi mwanamke anavyoweza kuwa jasiri na kukubali kuweka rehani kila kitu kwa ajili ya kuipatia uhuru wa Tanganyika.
HALMASHAURI ya Wilaya ya Rufiji mkoani Pwani kwa kushirikiana na Ofisi ya Mbunge wa Jimbo la Rufiji chini ya Mheshimiwa Waziri wa Utamaduni,Sanaa na Michezo, Mohamed Mchengerwa inakuletea Bibi Titi Memorial Festival kuanzia Desemba 14 hadi 15,2022 katika Uwanja wa Ujamaa Rufiji.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news