Sala ya asubuhi kutoka Wakala ya Mabasi Yaendayo Haraka (DART)

Wakala ya Mabasi Yaendayo Haraka (DART) ni taasisi ya serikali iliyoundwa kwa mujibu wa tangazo la serikali No. 120 la tarehe 25 Mei 2007 chini ya sheria No. 30 ya Wakala za Serikali ya mwaka 1997 na marekebisho yake. 
 
Jukumu kuu la DART ni kuanzisha na kuendesha mfumo wa Usafiri wa Mabasi Yaendayo Haraka kwa jiji la Dar es Salaam. Wakala inakusudia kufikia malengo yafuatayo:

a)Kuanzisha na kuendesha mfumo wa Mabasi Yaendayo Haraka kwa ajili ya Dar es Salaam, yatakayotumia jina la DART;

b)Kuhakikisha mtiririko bora wa usafiri kwenye mitaa na barabaraza mjini, na

c) Kuhakikisha usimamizi wa wakala wenye ufanisi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news