Aishi Manula ndiye mchezaji bora wa mwaka

NA DIRAMAKINI

MLINDA mlango wa Klabu ya Simba, Aishi Manula amechaguliwa mchezaji bora wa mwaka katika hafla ya tuzo zinazotolewa na Baraza la Michezo Tanzania (BMT).

Manula amewapiku walinzi Mohamed Hussein na Shomari Kapombe alioingia ingia nao fainali ya kinyang’anyiro hicho ambao wote wanatoka kwenye kikosi hicho.

Aishi amedaka asilimia kubwa ya mechi pamoja na timu ya Taifa kwa mwaka mzima huku akiwa kwenye ubora mkubwa.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news