Mke wangu aliyefariki ananisumbua sana usiku

NA MWANDISHI WETU

NAITWA Juma kutoka Kijiji cha Nyakimincha, Kisii nchini Kenya, nimekuwa na changamoto nyingi sana katika maisha yangu, ila kuna changamoto moja ndiyo hasa imekuwa ikininyima usingizi kila wakati.

Ni mwaka mmoja sasa tangu nilipompoteza mke wangu katika ajali mbaya ya barabarani, wakati narudi nyumbani kutoka kazini, nilipata mshtuko mkubwa sana mara baada ya kusikia mke wangu amefariki katika ajali hiyo.

Alikuwa nami kwa wakati wote, aliandaa chakula cha jioni na kisha tukaenda kulala kwenye chumba chetu, ila sasa hayupo, ilikuwa ni huzuni kubwa sana katika maisha yangu.

Hata hivyo, imekuja kuwa huzuni zaidi kwani baada ya maziko yake amekuwa akinitokea usiku na kuzungumza na mimi na asubuhi anakuwa haonekani.

Ninaogopa kumwambia mtu yeyote katika familia yangu kwa sababu ninaogopa kufungua kile ninachofikiria kuwa nafsi yangu ya pili bado inampenda sana mke wangu, na kweli nilimpenda hivyo bado ninampenda sana!.

Jumamosi iliyopita nilienda kanisa moja ambapo niliombewa na kwa bahati nzuri niliporudi nyumbani siku hiyo mke wangu hakuja, ila alikuja siku iliyofuata, nikawa na wazo jipya, nalo ni mimi kumtembelea mahali anapokaa.

Nikawa na wasiwasi kama kuna mtu anaweza kuniambia nifanye nini juu ya jambo hilo, kanisa linaweza kunisaidia? Au kuna njia nyingine ya kuondokana na jambo hilo la kutisha maishani?.

Hata hivyo, kutokana na utafiti wangu nilibaina ni mganga wa jadi tu ndiye anayeweza kunisaidia kutoka katika changamoto hiyo, basi siku moja nilisoma katika gazeti moja na na kukutana na jina la African Doctors.

African Doctors wamekuwa wakiwasaidia watu kutoka kwenye changamoto mbalimbali ikiwemo kama yangu, niliwasiliana nao na mara moja wakanifanyia tiba na tangu wakati huo ukawa mwisho wa kutokewa na mzimu wa mke wangu!.

Wasiliana na wataalamu hawa wa mimea, wanaponya shinikizo la damu, kisukari, vidonda vya tumbo, kisonono, kaswende, TB, upungufu wa nguvu za kiume n.k.

Pia hutatua shida maishani kama matatizo ya kimahusiano, migogoro ya kifamilia, kuyumba kwa biashara, kukuwezesha kushinda kesi, kupandishwa cheo kazini, kukuondolea ndoto mbaya na hata kushinda bahati nasibu.

Wasiliana na African Doctors kwa namba; +254 769 404965, tembelea tovuti yao; www.african-doctors.com au watumie email; africandoctorheals@gmail.com

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news