NA MWANDISHI WETU
WMJJWM, CHINA
KATIBU Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt.John Jingu ameshiriki Kongamano la Kimataifa la Ushirikiano kati ya China na Africa katika masuala ya Usawa wa Kijinsia (China-Africa Women's Forum) Juni 29, 2023 hadi Julai 1,2023.

Mpango huo utasaidia kuongeza kipato kwa ngazi ya kaya, hali itakayosaidia kupunguza masuala ya ukatili yatokanayo na kipato duni.