Karibu kiwanda cha nguo TAVEN Dodoma

MKURUGENZI Mtendaji wa Taven Industries Company Limited,Dkt.Gustavus Deusdedith amesema, nia ya kuanzisha kiwanda hiki ambacho kinajihusisha na uzalishaji wa nguo za aina mbalimbali nchini ni kuunga mkono jitihada za Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Samia Suluhu Hassan.

Kiwanda hicho kilichopo Block D, Plot 716, Chihoni Kata ya Nala jijini Dodoma,licha ya kuunga mkono jitihada hizo kimetoa fursa za ajira kwa Watanzania mbalimbali.

HUDUMA ZETU

Uzalishaji na usambazaji wa

1 T-shirt za aina zote
- Za kola (polo)
-Za round
- Zenye shingo v

2. Sare za aina zote
-Za shule
-Za hoteli, viwanda na maeneo ya kazi, biashara na ulinzi


3.Nguo za mitindo mbalimbali
-Tunazalisha kwa mteja aliyeandaa mitindo au sampuli
-Leta nguo ya sampuli au mchoro
-Nguo za watoto
-Nguo za safari
-Nguo za kutokea
-Nguo za kiofisi na sehemu rasmi
-Na mitindo yote iliyoandaliwa au kuandaliwa na wataalamu wetu

4. Huduma za uchapishaji wa nguo kwa njia ya
-Kudarizi
-Kuchapa kwa njia ya wino na moto na michoro ya asili

5 Ushauri na uelekezi

Mawasiliano
0716041476
0717514324
0715094290

AU

Jibu kwa kubonyeza namba ya huduma unayotaka ili kupata maelekezo zaidi
mfano 1

Tembelea youtube channel yetu
https://www.youtube.com/watch?v=3pofnNvsvhE


Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news