Viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni leo Julai 20, 2023

NA GODFREY NNKO

LEO Paundi ya Uingereza (GBP) inanunuliwa kwa shilingi 3001.21 na kuuzwa kwa shilingi 3031.45 huku Franka ya Rwanda (RWF) ikinunuliwa kwa shilingi 1.97 na kuuzwa kwa shilingi 2.02.

Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni iliyotolewa leo Julai 20, 2023 na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Dirham ya Umoja wa Falme za Kiarabu (AED) inanunuliwa kwa shilingi 632.92 na kuuzwa kwa shilingi 639.08 huku Schilling ya Australia (ATS) ikinunuliwa kwa shilingi 149.15 na kuuzwa kwa shilingi 150.47.

Dola ya Zimbabwe (ZWD) inanunuliwa kwa shilingi 0.43 na kuuzwa kwa shilingi 0.44 huku Euro ya Ulaya (EUR) inanunuliwa kwa shilingi 2607.69 na kuuzwa kwa shilingi 2634.48.

Yen ya Japan (JPY) inanunuliwa kwa shilingi 16.64 na kuuzwa kwa shilingi 16.81 huku Yuan ya China (CNY) ikinunuliwa kwa shilingi 322.00 na kuuzwa kwa shilingi 325.15.

Shilingi ya Kenya (KES) inanunuliwa kwa shilingi 16.40 na kuuzwa kwa shilingi 16.55 huku Kwacha ya Malawi (MWK) ikinunuliwa kwa shilingi 2.05 na kuuzwa kwa shilingi 2.21.

Dola ya Canada (CAD) inanunuliwa kwa shilingi 1763.41 na kuuzwa kwa shilingi 1780.91 huku Franka ya Uswisi (CHF) ikinunuliwa kwa shilingi 2709.35 na kuuzwa kwa shilingi 2735.17.

Shilingi ya Uganda (UGX) inanunuliwa kwa shilingi 0.61 na kuuzwa kwa shilingi 0.64 huku Franka ya Burundi (BIF) ikinunuliwa kwa shilingi 2.22 na kuuzwa kwa shilingi 2.24.

Dola ya Australia (AUD) inanunuliwa kwa shilingi 1572.66 na kuuzwa kwa shilingi 1588.85 huku SDR ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) ikinunuliwa kwa shilingi 3150.43 na kuuzwa kwa shilingi 3181.94.

Krona ya Sweden (SEK) inanunuliwa kwa shilingi 227.23 na kuuzwa kwa shilingi 229.43 huku Randi ya Afrika Kusini (ZAR) ikinunuliwa kwa shilingi 129.69 na kuuzwa kwa shilingi 130.95.

Dola ya Marekani (USD) inanunuliwa kwa shilingi 2324.36 na kuuzwa kwa shilingi 2347.6 huku Dinar ya Kuwait (KWD) ikinunuliwa kwa shilingi 7581.32 na kuuzwa kwa shilingi 7652.14.

Foreign Exchange Rates in United Republic of Tanzania today July 20th, 2023 according to Central Bank (BoT);
S/NO Currency Buying Selling Mean Transaction Date
1 AED 632.9257 639.0809 636.0033 20-Jul-23
2 ATS 149.154 150.4756 149.8148 20-Jul-23
3 AUD 1572.6596 1588.8557 1580.7576 20-Jul-23
4 BEF 50.8779 51.3283 51.1031 20-Jul-23
5 BIF 2.2254 2.2422 2.2338 20-Jul-23
6 CAD 1763.4144 1780.9134 1772.1639 20-Jul-23
7 CHF 2709.3559 2735.1741 2722.265 20-Jul-23
8 CNY 322.0044 325.1524 323.5784 20-Jul-23
9 DEM 931.3445 1058.6697 995.0071 20-Jul-23
10 DKK 350.0695 353.5169 351.7932 20-Jul-23
11 ESP 12.3354 12.4442 12.3898 20-Jul-23
12 EUR 2607.6955 2634.4767 2621.0861 20-Jul-23
13 FIM 345.1878 348.2466 346.7172 20-Jul-23
14 FRF 312.8887 315.6565 314.2726 20-Jul-23
15 GBP 3001.2091 3031.4559 3016.3325 20-Jul-23
16 HKD 297.7387 300.6929 299.2158 20-Jul-23
17 INR 28.3212 28.5988 28.46 20-Jul-23
18 ITL 1.06 1.0694 1.0647 20-Jul-23
19 JPY 16.6442 16.8082 16.7262 20-Jul-23
20 KES 16.4092 16.5499 16.4795 20-Jul-23
21 KRW 1.8368 1.854 1.8454 20-Jul-23
22 KWD 7581.3185 7652.1399 7616.7292 20-Jul-23
23 MWK 2.0502 2.2066 2.1284 20-Jul-23
24 MYR 511.9728 516.5236 514.2482 20-Jul-23
25 MZM 36.0813 36.3857 36.2335 20-Jul-23
26 NLG 931.3445 939.6038 935.4741 20-Jul-23
27 NOK 231.4542 233.699 232.5766 20-Jul-23
28 NZD 1452.7228 1468.6586 1460.6907 20-Jul-23
29 PKR 7.782 8.2662 8.0241 20-Jul-23
30 RWF 1.973 2.024 1.9985 20-Jul-23
31 SAR 619.7458 625.9098 622.8278 20-Jul-23
32 SDR 3150.4327 3181.9371 3166.1849 20-Jul-23
33 SEK 227.2298 229.4348 228.3323 20-Jul-23
34 SGD 1753.8342 1771.2388 1762.5365 20-Jul-23
35 UGX 0.6097 0.6397 0.6247 20-Jul-23
36 USD 2324.3564 2347.6 2335.9782 20-Jul-23
37 GOLD 4595694.301 4642379 4619036.6505 20-Jul-23
38 ZAR 129.6864 130.9468 130.3166 20-Jul-23
39 ZMW 118.0432 122.5901 120.3167 20-Jul-23
40 ZWD 0.435 0.4438 0.4394 20-Jul-23

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news