Tupo tayari kuwapokea Washiriki wa Kili Challenge 2023


Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Mhe.Jenista Mhagama amekutana na watendaji wa ofisi yake na TACAIDS wakati wa kikao cha kumpitisha juu ya maandalizi ya kuelekea hafla ya kuwapokea wapanda mlima na waendesha baiskeli waliozunguka Mlima Kilimanjaro ikiwa ni sehemu ya Kampeni ya GGM Kilimanjaro HIV &AIDS Challenge 2023 katika kuchangia fedha za utekelezaji wa afua za masuala ya UKIMWI nchini.Hafla hiyo inatarajiwa kufanyika Julai 20,2023 katika lango la Mwika Kilimanjaro.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news