Rais Dkt.Samia ndani ya Mtwara

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi pamoja na Wananchi wa Mkoa wa Mtwara kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Nangwanda Sijaona tarehe 15 Septemba, 2023.

Wabunge, Viongozi mbalimbali pamoja na Wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika uwanja wa Nangwanda Sijaona tarehe 15 Septemba, 2023.
Wasanii mbalimbali wakitumbuiza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Nangwanda Sijaona tarehe 15 Septemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Nangwanda Sijaona Mkoani Mtwara tarehe 15 Septemba, 2023.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news