Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Oktoba 31,2023
































Nimetoa uroda ili mume wangu apandishwe cheo kazini!
============================
Kwa mtazamo wa haraka msomaji unaweza kunihukumu kwa kile nilichofanya na kuonekana kuwa si mwanamke anayefaa katika jamii bila kutambua shida na changamoto nilizokutana nazo hadi kufikia hatua hiyo.

Wote tunatambua kuwa, mwanamke ukishaolewa kazi yake kubwa ni kumsaidia mume wake kwa namna yoyote ile pia kumpatia furaha pale anapokosa kutokana na sababu mbalimbali za maisha.

Mimi ni mwanamke wa miaka 37, mume wangu ni mfanyakazi wa serikari katika kitengo cha uhamiaji hapa mkoani, amefanya kazi kwa miaka 10 bila kupandishwa cheo kazini kwake.

Kila mara mume wangu aliniambia kuwa anafanya kazi kwa bidii na kwa umakini ila cha ajabu wenzake kila mwaka wanapandishwa vyeo ila yeye bado, kitendo cha mume wangu kukosa cheo kwa muda mrefu kilininyima raha kabisa.

Siku moja tulialikwa na mfanyakazi mwenzake Mr.Boniface ambaye alikuwa amepandishwa cheo kazini kwao na kuhamishiwa mkoa mwingine.

Tulijianda na mume wangu kisha kwenda kwenye ukumbi husika kwa ajili ya sherehe hiyo, tulikutana na wafanyakazi mbalimbali na miongoni mwao alikuwepo Mr. Erickson ambaye ndiye mkubwa wao pia ndie anaweza kumpandisha au kumshusha mtu cheo.

Sherehe iliendelea vizuri ikafika hatua mwenye sherehe akakaribishwa kwa ajili ya kutoa neno lolote kwa wafanyakazi wenzake pia kutoa shukrani kwa wakubwa wake kwa nafasi aliyopata.

Mr. Boniface akiwa bado anaongea Mr. Erickson alinifuata na kisha kuniambia maneno haya;

"Mumeo ni mfanyakazi mzuri sana anastahili kupandishwa cheo kutokana na elimu aliyonayo pamoja na bidii yake kazini, ila kupandishwa kwake cheo kupo mikononi mwako,"alisema.

Kwa haraka niliweza kuuliza namna gani mume wangu atapandishwa cheo, ndipo alichukua simu yake na kuniomba namba yangu ya simu, bila kusita nilimpatia kisha tukarudi ukumbini, baada ya muda sherehe iliisha, hivyo tukianza kurejea manyumbani kwetu.

Tulipofika nyumbani mume wangu hakuwa na raha kabisa hivyo sikuweza mwambia kile nilichoambiwa na bosi wake, nilisubiri siku ambayo hatakwenda kazini ili niweze kumueleza.

Kesho yake asubuhi Mr. Erickson alinipigia simu kisha kuniomba tukutane muda wa chakula cha mchana kuna jambo anataka kunieleza juu ya mume wangu.

Baada ya kukata simu nikaanza kujiuliza huenda mume wangu anatabia mbaya ndio maana hapandishwi cheo, au mume wangu kuna mwanamke anatembea naye kazini kwake ndio maaana hapewi cheo.

Maswali yote hayo sikuweza kupata majibu kwa muda huo, muda ulifika kisha nikakutana na Mr. Erickson ndipo akaniambia kuwa mume wangu kupata cheo nilale naye, mara tu mume wangu aweze kufanikisha ndoto zake pia akanihakikishia kuwa kuna nafasi moja inahitaji mtu.

Nilinyanyuka pale nikiwa na hasira kisha kuelekea nyumbani kabla sijafika nyumbani alinitumia ujumbe kuwa nifikirie alichoniambia kabla ya siku tatu kupita.

Nilipofika nyumbani nikasubiri mume wangu atoke kazini nimwambie kile Boss wake alichoniambia, hakujali, akasema anajua yeye hawezi kupata nafasi ile kisha akaenda zake chumbani kulala hata hakula chakula.

Siku ilifuata nilichukua simu yangu na kumpigia Boss wake kisha kumbukalia ombi lake kwa siku moja tu.

Mr Erickson aliniambia wapi tutakutana na saa ngapi, hivyo tukakutana akamaliza haja zake kisha nikarudi nyumbani kabla ya mume kutoka kazini.

Siku zilisonga hatimaye mume wangu akapanishwa cheo pamoja na mshahara wake, mume wangu alipata furaha sana kuweza kupata nafasi hiyo, hivyo tuliandaa sherehe na kuwaalika wafanyakazi wenzake ili tuweze jumuika.

Tukiwa katika sherehe Mr.Erickson alinifuata tena na kuniambia kuwa anahitaji mara nyingine tena.

Sikuwa tayari nilianza kumzungusha ikafikia hatua nikaona ataharibu ndoa yangu, nikaamua kumwambia Shangazi yangu ndipo Shangazi akaniambia kuwa African Doctors wana uwezo mkubwa wa kumfanya Mr. Erickson kunisahau kabisa maishani mwake.

Nilichukua simu yangu ya smart phone nikaingia mtandaoni kisha nikapata namba ya African Doctors ambayo ni +254 769404965 kisha nikamtumia ujumbe WhatsApp, alinijibu vizuri juu ya shida yangu na kuniambia ndani ya siku tatu tu Mr. Erickson hataweza kunisumbua tena.

Siku ya pili tangu niwasiliane na African Doctors, mume wangu alitoka kazini na kuniambia Mr. Erickson amehamishiwa mkoa mwingine.

Habari hiyo kwangu ilikuwa nzuri kuona anatoka eneo ambalo mimi na mume wangu tunaishi, alipohamishwa hakunitafuta tena au kutuma SMS hadi sasa.

Najua wapo watu wengi wenye shida tofauti au shida kama yangu, basi wasiliana na African Doctors kwa namba; +254 769 404965, tembelea tovuti yao; www.african-doctors.com au watumie email; africandoctorheals@gmail.com

African Doctors wana dawa ya kumfunga mume asiende nje ya ndoa, dawa ya mvuto wa biashara, dawa ya kuwa na uwezo wa kufanya watu wasikilize kile unachosema.

Dawa ya bahati hasa katika michezo ya bahati nasibu, pamoja na dawa ya kutambua kuwa mwenzake anakusaliti au hapana.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news