KATAVI-Timu ya Netiboli ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) ya Bandari Queens imetwaa Ubingwa wa Mashindano ya Ligi Daraja la Pili Taifa.

.jpeg)

Mkuu wa Wilaya ya Mpanda mkoani Rukwa, Mheshimiwa Jamila Yusuph amekabidhi kombe kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Katavi.