Rais Dkt.Samia katika Mkutano wa Kimataifa wa 23 wa Baraza la Utalii Duniani (WTTC)


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza kwenye Mkutano wa Kimataifa wa 23 wa Baraza la Utalii Duniani (WTTC) unaofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Kigali nchini Rwanda, leo Novemba 2, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais wa Rwanda, Paul Kagame kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Kimataifa wa 23 wa Baraza la Utalii Duniani (WTTC) unaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano Kigali nchini Rwanda, leo Novemba 2, 2023.

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa na Rais wa Rwanda, Paul Kagme pamoja na viongozi mbalimbali wakati wakishiriki Mkutano wa Kimataifa wa 23 wa Baraza la Utalii Duniani (WTTC).

Viongozi pamoja na wageni mbalimbali waliihudhuria Mkutano wa Kimataifa wa 23 wa Baraza la Utalii Duniani (WTTC) unaofanyika mjini Kigali.

Viongozi pamoja na wageni mbalimbali waliihudhuria Mkutano wa Kimataifa wa 23 wa Baraza la Utalii Duniani (WTTC) unaofanyika mjini Kigali.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news