VIDEO:Kazi niliyotumwa sijaimaliza, wakati ukifika nitarejea kwa Muumba wangu-Dkt.Mpango


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akizungumza na kaka yake Padre Sebastian Mpango (kushoto) pamoja na Padre Emmanuel Mtambo (kulia) mara baada ya kushiriki Ibada ya Jumapili katika Kanisa Katoliki Parokia ya Mwenyeheri Maria Theresa Ledochowska Kiwanja cha Ndege Dodoma leo tarehe 10 Desemba 2023.
“Asanteni sana kwa kuniombea, yamesemwa mengi si ndio?Na wengine bado wanasema mimi ni mzuka, mnaopenda kusoma Biblia labda niwakumbushe sehemu moja halafu mtamalizia Zaburi ya 118 aya ya 17 inasema ‘Sitokufa bali nitaishi, nami nitayasimulia matendo ya Bwana’ kwahiyo mkae na amani nipo salama nilikwenda nje kufanya shughuli kwa mwezi mmoja, sijapungua hata kidogo,"Makamu wa Rais, Dkt.Philip Mpango.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news