Vitendea kazi chachu katika utendaji kazi

MBEYA-Wakaguzi wa kata nane wa Mkoa wa Mbeya wamekabidhiwa pikipiki aina ya Boxer kwa ajili ya kurahisisha na kufanikisha utekelezaji wa majukumu yao katika kata zao.
Akizungumza wakati wa kukabidhi pikipiki hizo katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika Desemba 2, 2023 katika uwanja wa FFU Mbeya, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, ACP Benjamin Kuzaga amemshukuru Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IJP Camillus Wambura kwa kutambua umuhimu wa vitendea kazi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news