Balozi Dkt.Diodorus Kamala afariki

DAR ES SALAAM-Balozi mstaafu wa Tanzania nchini Ubelgiji, na Waziri wa zamani wa Afrika Mashariki Dkt.Diodorus Kamala amefariki dunia leo jijini Dar es Salaam akiwa na umri wa miaka 55.
Dkt. Deodorus Buberwa Kamala amefariki dunia akiwa anapatiwa matibabu Hospitali ya Mzena jijini Dar es Salaam.

Wakati wa uhai wake amewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Nkenge Wilaya ya Missenyi Mkoa wa Kagera kuanzia mwaka 2000 hadi 2010.

Aidha, mwaka 2006 aliteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Afrika Mashariki na baadaye Waziri kamili mwaka 2008 hadi 2010.

Mwaka 2011 aliteuliwa kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Ubelgiji na Uholanzi ambako alitumikia nafasi hiyo hadi mwaka 2015 aliporejea kuwa Mbunge hadi mwaka 2020.

Uzoefu katika siasa

Political PartyPositionFromTo
Chama Cha MapinduziNational Youth Secretary-UVCCM20002002
Foreign Affairs and Defence Committee of the ParliamentMember20052010
Chama Cha MapinduziSecretary of promotions and Sprout UVCCM20022007
Chama Cha MapinduziMember-Ntional Executive Council20022007
Economics and Finance Committee of the ParliamentMember20002002
IDM-MzumbePresident of the Student Union19941995
Local Authorities Accounts Committee of the GovernmentMember20032005
Parliament of TanzaniaMember of the Parliament20052010
Parliament of TanzaniaMember of the Parliament20152020
Parliament of TanzaniaMember of the Parliament20002005
Industries, Trade and Enviroment CommitteeMember20152018

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news