Rombo wateta na Katibu Mkuu wa CCM


Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro, baadhi ya Madiwani wa CCM katika Halmashauri ya Wilaya ya Rombo, baadhi ya Wajumbe wa Kamati za Siasa Kata Nne za Wilaya ya Rombo na Wajumbe wa Bodi ya Ligi ya Mkenda Cup, wilayani humo, wakisikiliza jambo wakati Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwapatia simulizi alipokuwa Shule ya Sekondari ya Seminari ya Uru, mkoani Kilimanjaro. Viongozi hao walifika Makao Makuu ya CCM, jijini Dodoma, kumtembelea Dkt. Nchimbi, leo Jumatano, Februari 7, 2024.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiwa kwenye picha mbalimbali pamoja na baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro, baadhi ya Madiwani wa CCM katika Halmashauri ya Wilaya ya Rombo, baadhi ya Wajumbe wa Kamati za Siasa Kata Nne za Wilaya ya Rombo na Wajumbe wa Bodi ya Ligi ya Mkenda Cup, wilayani humo, baada ya viongozi hao kumtembelea Dkt. Nchimbi ofisini, Makao Makuu ya CCM, jijini Dodoma, leo Jumatano, Februari 7, 2024.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news