Huyu mwanamke kila akienda kwao ndio napata fedha!

NAKURU-Jina langu ni Samweli kutokea Kilimanjaro nchini Tanzania, nakumbumbuka kama miaka miwili iliyopita, nilikuwa kwenye mahusiano na binti flani wa umri kama miaka 20 ambaye alihitimu kidato cha nne mwaka 2020.
Baadaye niliishi naye hapa Kilimanjaro japo yeye alitokea kwao mkoani Manyara, nilimpenda na yeye alinipenda ila ukweli hali yangu ya kiuchumi haikuwa sawa kipindi nipo nae, maisha yalikuwa ni magumu sana.

Niliuza kila kitu sababu sikupata kazi lakini kilichokuwa kinanishangaza kila alipokuwa anaenda kwao, kazi zinapatikana na akirudi sipati kazi na dili zangu zote zinakatika.

Nachoshukuru alinivumilia sana na mimi nilipambana tukashauriana aende chuo, ukweli wazazi wake wakamwambia aende chuo ila binafsi sikupenda ila ilibidi sababu sikuwa na kitu.

Basi aliondoka kwao ili aende chuo ila nilimwambia akienda chuo ndio na mapenzi yanaisha sababu
nayajua mambo ya chuo, kweli alipoondoka akabadilika, mwisho wa siku akasema tuachane.

Sikung'ang'ania nikamwambia aniblock na kweli akaniblock tokea hapo yaani nikawa nimeshindwa kumsahau na nikashindwa kuingia kwenye mahusiano mapya ukizingatia nilipoteza vitu vingi kwake.

Maisha yakawa magumu nikarudi kwetu kwa sababu sikuwa na kazi hata nguvu za kufanya au kutafuta kazi sikuwa nazo tena, ukifika muda wa kulala matukio yote yalikuwa yananirudia nilivyoishi naye hii hali ilinidhoofisha sana hadi kukosa hata raha.

Kuna rafiki yangu nikamueleza suala hilo, nikamwambiwa nikiwa na huyu mwanamke ndani sipati kazi ila akienda kwao dili zinakuwa nyingi, ila sasa tumeachana ndio hali imekuwa mbaya sana.

Yule rafiki yangu akaniambia kutakuwa na shida sehemu, akanishauri niwasiliane na Kiwanga Doctors ili niweze kupata usaidizi na kujua nini tatizo.

Alinipatia namba zake ambazo ni +254 769 404965 na kumpigia na kumueleza sakata lote ambalo limenitokea, baada ya kufanya matambiko yake, Kiwanga Doctors aliambia yule mwanamke na mimi nyota zetu haziendani kabisa na kama tungeendelea kuwa pamoja mambo yangekuwa mabaya zaidi.

Basi alinifanyia dawa ya kuondoka ile mikosi ambayo ililetwa kutokana na kupishana kwa nyota zetu, nashukuru baada ya muda mambo yalianza kuninyookea.

Kwa sasa ninafanya kazi vizuri, nina biashara zangu na mahusiano yangu mapya yenye furaha tele na amani.

Siku zote kumbuka Kiwanga Doctors anatoa huduma kama kusafisha nyota, kusuluhisha migororo ya ndoa, mahusiano, mapenzi na familia, kumfunga mume au mke asitoke nje ya ndoa, anatoa tiba kwa wanaotafuta watoto.

Vilevile anatoa huduma ya kukusaidia kupata kazi au ajira, kupandishwa cheo na mshahara kazini, kuwasaidia wenye urahibu wa dawa za kulevya, sigara na pombe, kwa wanaotafuta mume au mke pia anawasaidia tena ndani ya siku chache.

Anatibu magonjwa kama kisukari, msukumo wa damu (BP), upungufu wa nguvu za kiume, miguu kuwaka moto n.k, pia anaweza kuisadia biashara yako kunawiri, na huduma zote hizi unaweza kuzipata bila kufika ofisini kwake.Basi chukua hatua ya kuwasiliana na Kiwanga Doctors kwa namba; +254 769 404965.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news