Nimeota napigwa risasi kichwani, maana yake nini?

NAKURU-Habari, jina langu naitwa Zuberi kutokea mkoani Tanga nchini Tanzania, tatizo langu lilikuwa mara nyingi naota ndoto ambazo zinahusiana na mambo ya kukamatwa na polisi au uhalifu.
Picha na Self.

Kwa mfano kuna siku niliota nikiwa nipo na rafiki zangu uraiani, ghafla likaja gari la polisi likapaki tulipokua pale, wakalifungua bonnet wakaanza kulitengeneza maana lilihalibikia pale walipotukuta.

Wakati wao analitengeneza ndani walikuwemo polisi wamevalia sare zao basi akashuka mmoja wao na kuanza kutupigisha stori hasa kuhusu kazi yao na changamoto zake.

Akaanza kwa kusema kuna mahala walienda na gari lao wakaiba fedha wakijifanya ni polisi kumbe ni majambazi, zilikuwa ni fedha nyingi kiasi cha kushindwa kuacha mchezo huo mchafu.

Hivyo wakawa wanafanya kazi ya kuchukua fedha za watu kama vile polisi, sasa waliposhtukiwa na polisi wa kweli ndio wakakimbia hadi kuja huku ambapo wamekuta sisi na gari lao kuharibika.

Cha kushangaza akasema mimi ni polisi wa kweli, nilikataa nikiwa na hofu kubwa sana, yule jamaa akapanda gari na kumwambia mwenzake achukue bastola na kuniua nisije kutoa taarifa zao kwa mamlaka.

Mara moja alichukua bastola yake na kunilenga risasi kadhaa za kichwani, ghafla nilishtuka kutoka usingizini huku kichwa changu kikiwa kizito sana, kutazama saa ilikuwa ni saa tisa na nusu usiku.

Kwa miaka mingi maisha yangu yalikuwa yakitawaliwa na ndoto hizo hadi pale shangazi yangu alipokuja na kunipeleka kwa Kiwanga Doctors na kunifanyia tiba zake za mitishamba na ndipo ndoto hizo zikaniacha.

Siku zote kumbuka Kiwanga Doctors anatoa huduma kama kusafisha nyota, kusuluhisha migororo ya ndoa, mahusiano, mapenzi na familia, kumfunga mume au mke asitoke nje ya ndoa, anatoa tiba kwa wanaotafuta watoto.

Vilevile anatoa huduma ya kukusaidia kupata kazi au ajira, kupandishwa cheo na mshahara kazini, kuwasaidia wenye urahibu wa dawa za kulevya, sigara na pombe, kwa wanaotafuta mume au mke pia anawasaidia tena ndani ya siku chache.

Anatibu magonjwa kama kisukari, msukumo wa damu (BP), upungufu wa nguvu za kiume, miguu kuwaka moto n.k, pia anaweza kuisadia biashara yako kunawiri, na huduma zote hizi unaweza kuzipata bila kufika ofisini kwake.

Basi chukua hatua ya kuwasiliana na Kiwanga Doctors kwa namba; +254 769 404965.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news