Hello😊 naitwa Rehema Said, mimi ni mchezaji wa Wheelchair Tennis Tanzania pia ni mwanafunzi kutoka chuo cha Ustawi wa Jamii 😊
Kwa sasa naomba support yako ya kunipigia kura ili niweze kushinda tuzo ya TANZANIA EMERGING YOUTH AWARD katika kipengele cha OUTSTANDING FEMALE YOUTH IN SPORTS.
Kwa sasa naomba support yako ya kunipigia kura ili niweze kushinda tuzo ya TANZANIA EMERGING YOUTH AWARD katika kipengele cha OUTSTANDING FEMALE YOUTH IN SPORTS.Link ya kupiga kura: