DAR-Kocha wa Young Africans SC, Sead Ramovic amechaguliwa kuwa Kocha Bora wa ligi hiyo kwa mwezi Desemba akiwashinda Fadlu Davids wa Simba SC na na Rachid Taoussi wa Azam Fc alioingia nao fainali katika mchakato wa Tuzo za Mwezi uliofanywa na Kamati ya Tuzo za TFF.