Rais Dkt.Mwinyi ajumuika na wananchi katika mazishi ya marehemu Mahad Ali Suleiman

ZANZIBAR-Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dkt.Hussein Ali Mwinyi amejumuika na wananchi katika mazishi ya marehemu ya Mahad Ali Suleiman aliyefariki jana wakati akitibiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam.
Rais Dkt.Mwinyi amewaongoza Waumini wa Dini ya Kiislamu katika sala ya maiti Msikiti Jammiu Zenjibar Mazizini Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi.
Marehemu amezikwa kijijini kwao Fujoni Wilaya ya Kaskazini B, Mkoa wa Kaskazini Unguja tarehe 24 Aprili 2025.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news