HAKUNA kitu kizuri katika maisha au jamii kama kuwa na nguvu ya ushawishi, hiki ni kitu ambacho kila mtu anapenda kuwa nacho ingawa wanasiasa mara nyingi ndio huwa wanakitamani ili waweze kufanya siasa zao kwa wepesi zaidi.
Nisingependa kutaja jina langu ila mimi ni miongoni mwa viongozi au wanasiasa wenye ushawishi mkubwa katika eneo la Meru nchini Kenya, wananchi na jamii yangu wanapenda kile ambacho ninafanya na hata kuzungumza.
Hata hivyo, miaka ya nyuma hali haikuwa hivyo, kama ungekuwa ni mkutano wa kisiasa, basi kila ambapo ningepanda jukaani watu wangeweza kuondoka, ilishawahi kunitokea hivyo mara kadhaa.

Ukweli ni kwamba hakuna mtu angevutiwa na vile ambavyo ningezungumza, na hiyo ni ishara tosha sikuwa na nguvu ya ushawishi katika macho yao na masikio yao.
Jamaa yangu mmoja ambaye alishuhudia watu wakiondoka katika mkutano mmoja wa kisiasa baada ya mimi kupewa nafasi ya kuzungumza, alinijia na kuniambia...SOMA ZAIDI HAPA