VIDEO:TRC yasikia kilio cha wananchi wa Mtaa wa Gongo la Mboto,yatekeleza ombi lao

DAR-Aprili 14,2025 Serikali ya Mtaa wa Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam ililiandikia barua Shirika la Reli Tanzania (TRC), kuomba Shilingi milioni 8,915,000 kwa ajili ya matengenezo ya kipande cha barabara cha mtaa na mtaro wa kupitisha maji yanayodaiwa kutoka kwenye tobo la maji lililotengenezwa na mradi wa SGR, maji hayo ilielezwa kuwa yanaelekea kwenye majumba ya watu kwa kuwa mfereji umeziba.
Chini ni video yenye mahojiano na Moshi Selemani Mwaluko ambaye ni Mwenyekiti Serikali ya Mtaa Gongo la mboto,Majula Alisdius Mtalemwa ambaye ni Afisa Mtendaji Kata Gongo la mboto,Lucas Lutainulwa ambaye ni Diwani Kata ya Gongo la mboto na Mhandisi Tadei Komu ambaye ni Meneja Mradi Msaidizi SGR Dar es Salaam-Morogoro. Endelea;

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news