Balozi CP Hamad ateta na Balozi wa Morocco nchini Msumbiji

MAPUTO-Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Msumbiji ambaye pia anaziwakilisha Madagascar na Ufalme wa Eswatini, Mheshimiwa CP Hamad Khamis Hamad leo Mei 27,2025 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Morocco nchini Msumbiji,Mhe.Abdelali Rahali.
Wakati wa mkutano huo uliofanyika kwenye Ofisi za Ubalozi wa Morocco jijini Maputo, mbali ya Mhe. Balozi Hamad kujitambulisha kwa Mhe. Balozi Rahali,viongozi hao walikubaliana kushirikiana na kufanya kazi kwa ukaribu kwa maslahi ya Tanzania na Morocco.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news