DCEA yafikisha elimu kwa wazazi kuhusu madhara ya tatizo la dawa za kulevya Arusha

ARUSHA-Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na Asasi ya Bluecross Society of Tanzania imetoa mafunzo maalumu kwa wazazi 47 kutoka shule nane za jijini Arusha juu ya madhara ya tatizo la dawa za kulevya katika Ukumbi wa Kanisa la Anglikana jijini humo.
Wazazi hao walielezewa mbinu za kumtambua mtoto ambaye ameshaanza kujihusisha na dawa za kulevya na jinsi ya kumuepusha na tatizo hilo.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news