MWANZA-Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini (DCEA) imetoa mafunzo kwa maafisa watendaji wa kata za Kisesa na Bujora pamoja na wenyeviti wa vijiji na vitongoji vilivyopo katika kata hizo wilayani Magu mkoani Mwanza ambao jumla ya viongozi 51 kutoka kata hizo wamepata elimu hiyo.
Tags
DCEA
DCEA Tanzania
Habari
Kataa Dawa za Kulevya na Timiza Ndoto Zako
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA)




