Magazeti leo Mei 12,2025

DOHA-Tanzania na Qatar zimekubaliana kuimarisha ushirikiano katika masuala ya ajira baada ya kikao kati ya Balozi wa Tanzania nchini Qatar, Habibu Awesi Mohamed, na Naibu Katibu wa Wizara ya Kazi wa Qatar, Sheikha Najwa bint Abdulrahman Al Thani.
Katika kikao kilichofanyika Doha, Balozi Awesi alitoa pongezi kwa Serikali ya Qatar kwa nafasi za ajira inazotoa kwa Watanzania, akitangaza kuwa madereva 800 wa Kitanzania watafanyiwa usaili na kampuni ya Mowasalat Karwa kuanzia Mei 22 hadi 25, 2025 jijini Dar es Salaam. Pia aliomba msaada wa kurahisisha utoaji wa Visa kwa watakaochaguliwa.


















Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news