NAIROBI-Serikali ya Kaunti ya Nairobi nchini Kenya imefunga jengo la Freemasons Hall la Grand Lodge of East Africa lililoko katikati ya jiji kutokana na deni la kodi ya ardhi lililofikia Ksh. milioni 19 (shilingi milioni 396.6 za Kitanzania).

Tags
Kurasa za Magazeti
Kurasa za Mbele na Nyuma za Magazeti
Magazeti
Magazeti ya Leo
Magazetini
Magazetini leo
Yaliyojiri Magazetini Leo