DAR-Kiongozi wa zamani wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ametangaza kuwa yuko tayari kupambana mahakamani na Harbinder Singh Sethi, Mwenyekiti Mtendaji wa Pan Africa Power Solutions Ltd (PAP), kufuatia hatua za hivi karibuni za kiongozi huyo kumshtaki (Zitto) kutokana na sakata la fedha za Escrow.
Tags
Kurasa za Magazeti
Kurasa za Mbele na Nyuma za Magazeti
Magazeti
Magazeti ya Leo
Magazetini
Magazetini leo
Yaliyojiri Magazetini Leo