Magazeti leo Mei 20,2025

DAR-Wajumbe wa Sekretarieti ya CHADEMA iliyomaliza muda wake akiwemo aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Bara, Benson Kigaila, aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu CHADEMA Zanzibar, Salum Mwalimu, Catherine Ruge na aliyekuwa Mkurugenzi wa Itifaki na Mawasiliano, John Mrema ambao walitangaza kujiondoa CHADEMA kuanzia Mei 7,2025 hatimaye wamehamia rasmi Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) wakiwa pamoja na wengine akiwemo Devotha Minja.
Mwenyekiti wa CHAUMMA,Hashim Rungwe amewapokea wanachama hao wapya na kuwakabidhi kadi za CHAUMMA jijini Dar es Salaam Mei 19,2025 kwenye Mkutano Mkuu wa CHAUMMA.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news