Magazeti leo Mei 22,2025

RAIS wa zamani wa Marekani, Joe Biden amebainika kuugua saratani ya tezi dume, hali ambayo imezua maswali kuhusu afya yake, hasa alipokuwa akihudumu katika Ikulu ya White House.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na ofisi yake Jumapili ilieleza kuwa Biden, mwenye umri wa miaka 82 aligunduliwa na ugonjwa huo Ijumaa baada ya kuonana na daktari kufuatia dalili za matatizo ya njia ya mkojo.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news