Magazeti leo Mei 26,2025

DAR-Aliyekuwa Mkurugenzi wa Africa Media Group (AMGL), ambaye kwa sasa ni Naibu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais – Ikulu, Shaaban Kissu, amemkabidhi rasmi ofisi Kaimu Mkurugenzi mpya wa AMGL, Dennis Msaky.
Kabla ya uteuzi huo, Msaky alikuwa Katibu Msaidizi wa Habari katika Ofisi ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. John Emmanuel Nchimbi.















Makabidhiano hayo yamefanyika katika hafla fupi iliyofanyika kwenye ofisi za Africa Media Group Limited (AMGL), kampuni inayomiliki na kuendesha vyombo vya habari vya Channel Ten, Magic FM na Channel Ten Plus.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news